Sunday, October 27, 2024

Iran yasema azma yake ya kujilinda haina kikomo

 Iran yasema azma yake ya kujilinda haina kikomo


Azma ya Iran ya kujilinda "h


aina kikomo", Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema siku ya Jumamosi Oktoba 26, 2024, baada ya mashambulizi ya usiku ya Israel dhidi ya maeneo ya kijeshi ya nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment

DRC: Kambi ya rais wa zamani Joseph Kabila yapinga mradi wa kufanyia Katiba marekebisho

  Muungano wa Common Front for Congo (FCC) wa Joseph Kabila, rais wa zamani wa DRC kinapinga dhidi ya rasimu ya marekebisho ya Katiba iliyow...